Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kwa Kiingereza Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere) ni tuzo ya heshima zaidi nchini Tanzania.[1]. Tuzo hiyo ilipewa jina hilo ili kumuenzi rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Tuzo hiyo ilianzishwa na Jakaya Mrisho Kikwete mnamo Desemba 2011, wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara, ambayo kabla ya hapo ilikuwa ikijulikana kama Tanganyika.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Rais Kikwete atibua nyongo" [President Kikwete awards medals] (kwa Swahili). MwanaHalisi. 21 December 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-02-23. Iliwekwa mnamo 13 October 2013. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |