Nii Okai Parbey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nii Okai Parbey ni mbunifu na mwanasiasa kutoka Ghana. Alihudumu kama mbunge wa jimbo la Ga Kaskazini katika eneo la Greater Accra nchini Ghana[1].

Maisha ya awali na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Nii Okai Parbey alizaliwa tarehe 10 Februari 1953. Alihudhuria chuo kikuu cha Michigan ambapo alipata Shahada ya Kwanza ya Sayansi katika usanifu.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Parbey ni mbunifu na mbunge wa bunge la kwanza la jamhuri ya nne, alihudumu kwa muhula mmoja tu kwa jimbo la Ga Kaskazini kuanzia 7 Januari 1993 hadi 7 Januari 1997.

Siasa[hariri | hariri chanzo]

Parbey alichaguliwa kuwa mbunge wakati wa uchaguzi wa ubunge wa Ghana wa 1992 kama mbunge wa bunge la kwanza la jamhuri ya nne ya Ghana kwa jimbo la Ga Kaskazini kwa tiketi ya National Democratic Congress[2]. Alipoteza kiti katika uchaguzi mkuu wa 1996 wa Ghana kwa Sampson Ottu Darkoh wa New patriotic Party ambaye alishinda kiti hicho kwa kura 30,555 ikiwa ni 36.00% ya hisa. Aliwashinda Amadu Bukari Sorgho wa National Democratic Congress na Ibrahim Hollison wa National Independence Party, Francis Attakpah wa PNC, Thomas N. Ward-Brew wa DPP. Alipata asilimia 36.00% ya kura zote zilizopigwa huku wapinzani wake wakipata asilimia 34.00% ,4.50%, 2.00% na 1.90%[3][4][5].

Maisha Binafsi[hariri | hariri chanzo]

Parbey ni mkristo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nii Okai Parbey kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.