Jeri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Neomixis)
Jeri
Jeri koo-michirizi
Jeri koo-michirizi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Sylvioidea (Ndege kama kucha)
Familia: Cisticolidae (Ndege walio na mnasaba na videnenda)
Jenasi: Neomixis
Sharpe, 1881
Ngazi za chini

Spishi 3:

Jeri ni ndege wadogo wa jenasi Neomixis katika familia Cisticolidae. Wanafanana na videnenda lakini hawana michirizi mizito. Ndege hawa wana rangi ya kahawa au zaituni mgongoni na nyeupe au kijivu chini na pengine njano pia. Wanatokea misitu ya Madagaska. Hula wadudu. Tago lao ni donge la majani, manyasi na vigoga katikati ya vitawi lenye mwingilio juu kwa upande. Jike huyataga mayai 3-5.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]