Nenda kwa yaliyomo

Nathan Tella

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nathan Adewale Temitayo Tella (alizaliwa 5 Julai 1999)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Nigeria, ambaye anacheza kama winga katika klabu ya Bayer 04 Leverkusen inayoshiriki Bundesliga ya Ujerumani na timu ya taifa ya Nigeria.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nathan Tella kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.