Nathan Morris

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nathan Morris
Morris akitumbuiza mnamo 2008
Taarifa za awali
Amezaliwa18 Juni 1971 (1971-06-18) (umri 52)
Kazi yake
  • Mwimbaji
  • mfanyabiashara
AlaSauti, kinanda
Miaka ya kazi1988–hadi sasa
Studio
Ameshirikiana na
Wavutiboyziimen.com

Nathan Morris (amezaliwa 18 Juni, 1971) ni mwimbaji na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani. Anajulikana sana kwa kuwa miongoni mwa waanzilishi wa kundi la muziki wa R&B la Kimarekani Boyz II Men.

Jisomee[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]


Kigezo:US-RnB-singer-stub