Rhythm na blues

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rhythm na blues (kutoka Kiing. R&B au RnB) ni aina ya muziki uliomaarufu, ambao umejumlisha muziki wa jazz, gospo, na athari nzima za muziki wa blues. Kwa mara ya kwanza, muziki huu ulikuwa ukiimbwa na wasanii Waamerika Weusi. Lakini baadaye ulipendwa na watu wengi na kufikia hata kutumika na makundi na tamaduni za watu mbalimbali duniani.Lakini pia muziki huu ni muziki unaoonekana kuwa mgumu sana kwa wasanii wengi sana maana ukiangalia wengi wanachanganya na Zuku hivyo kupoteza uhalisia wake[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sacks, Leo. "The Soul of Jerry Wexler", New York Times, 1993-08-29. Retrieved on 2007-01-11. 
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rhythm na blues kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.