Mwita Mwikwabe Waitara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwita Mwikwabe Waitara (amezaliwa 17 Julai 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha siasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ukonga kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017