Mwaramoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwaramoni
(Castanea spp.)
Mwaramoni
Mwaramoni
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fagales (Mimea kama mwaramoni)
Familia: Fagaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaramoni)
Jenasi: Castanea
Mill.
Ngazi za chini

Spishi 8

Mwaramoni ni mti mikubwa wa jenasi Castanea katika familia Fagaceae.

Matunda, yanayoitwa maramoni, yana rangi ya kahawia nyekundu au aramoni na hugubikwa na gamba lenye miiba mingi (kupula kwa kisayansi). Maramoni hupikwa au huchomwa kabla kokwa yake haijaliwa.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwaramoni kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.