Mwanaidi Suka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwanaidi Suka (au Mainda) ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Tanzania. Suka ni mmoja wa wanakundi la Kaole Sanaa Group, lenye makazi yake jijini Dar es Salaam, Tanzania.

Filamu na tamthilia alizoshiriki Suka[hariri | hariri chanzo]

Filamu[hariri | hariri chanzo]

  • Johari 1 - 2
  • Dar 2 Lagos
  • Dangerous Desire
  • My son
  • Bed Rest
  • After death
  • Fair Decision

Tamthilia[hariri | hariri chanzo]

  • Fukuto
  • Radi
  • Dira
  • Taswira

Ona pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo ya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwanaidi Suka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

BaragumU