Mwana Mnyonge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwana Mnyonge
Mwana Mnyonge Cover
Studio album ya Q Chief
Imetolewa 2002
Imerekodiwa 2002
Aina Bongo Flava
Lebo GMC Wananchi
Mtayarishaji Bizz Man


"Mwana Mnyonge" ni jina la kutaja albamu ya kwanza kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya wa Kitanzania, Q Chillah. Albamu ilitayarishwa na Bizz Man kupitia studio za Poa Records. Moja kati ya albamu zinazotia huzuni sana katika kusikiliza kwa kipindi cha 2002-2003.[1]

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Hii ni orodha ya nyimbo zinazopatikana katika albamu hii.

  1. Zamani – Q-Chief akiwa na Lady Jay Dee Zamani
  2. Naijutia Nafsi
  3. V.I.P – Q-Chief
  4. Khadija – Q-Chief
  5. Tunatawala – Q-Chief akiwa na Dataz na Squeezer
  6. Nyumbani
  7. Mwana Mnyonge – akiwa na Fanani
  8. Aseme
  9. Si Ulinikataa – Q-Chief akiwa na Biz Man
  10. Mariam
  11. Party

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]