Mtungule

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtungule
(Solanum lycopersicum var. cerasiforme)
Mtungule
Mtungule
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Asterids (Mimea kama alizeti)
Oda: Solanales (Mimea kama mnavu)
Familia: Solanaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mnavu)
Jenasi: Solanum
Spishi: S. lycopersicum
L.
Namna: Solanum lycopersiucm var. cerasiforme (Slc.)
(Dunal) D.M.Spooner, G.J.Anderson & R.K.Jansen

Mtungule au mnyanya-cheri (Solanum lycopersicum var. cerasiforme) ni namna fulani ya mnyanya katika familia Solanaceae. Matunda yake huitwa matungule au nyanya-cheri na haya ni madogo kuliko nyanya za kawaida na yana umbo la mviringo au la pea. Hutumika sana katika saladi au kwa kula peke yao.

Picha[hariri | hariri chanzo]