Mto Rugomero (Ruyigi)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Rugomero (Ruyigi) ni jina la mto na la makorongo mawili vinavyopatikana katika mkoa wa Ruyigi (mashariki mwa Burundi).

Maji ya mto na ya korongo mojawapo huelekea Ziwa Nyanza, mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati, kumbe yale ya korongo lingine yanaelekea Ziwa Tanganyika, Mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Burundi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Rugomero (Ruyigi) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.