Mto Mississippi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mto Mississippi
Mto Mississippi karibu mdomoni huko New Orleans
Chanzo Ziwa Itasca, Minnesota - Marekani kwa 47°15'N 95°12'W
Mdomo Ghuba ya Meksiko - Atlantiki
Nchi USA
Urefu 3,780 km
Kimo cha chanzo 450 m
Mkondo 18,000 m³/s
Eneo la beseni 3,238,000 km²
Miji mikubwa kando lake Minneapolis, St. Paul, St. Louis, Memphis, Tennessee, Baton Rouge, LA, New Orleans
Beseni la Mississippi.

Mto Mississippi ndio mto mkubwa wa Marekani ni pia kati ya mito mirefu zaidi duniani kote.

Mwanzo wa Mto Mississippi (2004)
St. Anthony Falls

Chanzo chake kipo kaskazini mwa Marekani kwenye ziwa Itasca katika jimbo la Minnesota. Inapita majimbo ya Minnesota, Wisconsin, Iowa, Illinois, Missouri, Kentucky, Tennessee, Arkansas, Mississippi, Louisiana na kuishia katika ghuba ya Meksiko karibu na mji wa New Orleans.

Matawimto muhimu[hariri | hariri chanzo]

Beseni la Mississippi ni sehemu kubwa ya eneo la Marekani. Matawimto muhimu ni:

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.