Mtandao Kuruba
Jump to navigation
Jump to search
Katika utarakilishi, Mtandao Kuruba (kifupi: MK; kwa Kiingereza: Local area network) ni mtandao wa tarakilishi unaounganisha tarakilishi kadhaa katika eneo dogo kama shule, nyumba au chuo kikuu.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).