Msimbo chanzo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msimbo chanzo kwa kuchapa "Jambo ulimwengu" kwenye Python.

Katika utarakilishi, msimbo chanzo (kwa Kiingereza: source code au source file) ni waraka unamoandikwa msimbo wa programu kwenye lugha ya programu. Msimbo chanzo unatumiwa na wanaprogramu ili kuumba programu ya tarakilishi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).