Msala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Msala ni kata ya Wilaya ya Kibiti katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, iliyopo kwenye delta ya mto Rufiji, yenye postikodi namba 61805. Ilianzishwa mnamo mwaka 2015 kutokana na maeneo ya kata ya Maparoni.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,473 [1]. Mnamo mwaka 2016 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa watu 3,899.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kibiti - Mkoa wa Pwani - Tanzania

Bungu | Dimani | Kibiti | Kiongoroni | Mahege | Maparoni | Mbuchi | Mchukwi | Mjawa | Mlanzi | Msala | Mtawanya | Mtunda | Mwambao | Ruaruke | Salale


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Msala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.