Mramba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mramba
Mramba Mkia-panda
Mramba Mkia-panda
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Corvoidea (Ndege kama kunguru)
Familia: Dicruridae (Ndege walio na mnasaba na miramba)
Jenasi: Dicrurus
Vieillot, 1816
Spishi: D. adsimilis (Bechstein, 1794)

D. aeneus Vieillot, 1817
D. aldabranus (Ridgway, 1893)
D. andamanensis Beavan, 1867
D. annectans (Hodgson, 1836)
D. atripennis Swainson, 1837
D. balicassius (Linnaeus, 1766)
D. bracteatus Gould, 1843
D. caerulescens (Linnaeus, 1758)
D. densus (Bonaparte, 1850)
D. forficatus (Linnaeus, 1766)
D. fuscipennis (Milne-Edwards & Oustalet, 1887)
D. hottentottus (Linnaeus, 1766)
D. leucophaeus Vieillot, 1817
D. ludwigii (A. Smith, 1834)
D. macrocercus Vieillot, 1817
D. megarhynchus (Quoy & Gaimard, 1830)
D. modestus Hartlaub, 1849
D. montanus (Riley, 1919)
D. paradiseus (Linnaeus, 1766)
D. remifer (Temminck, 1823)
D. sumatranus R.G.W. Ramsay, 1880
D. waldenii Schlegel, 1865

Miramba, mibaramba au milamba ni ndege wa familia Dicruridae. Wanatokea Afrika, Asia na Australia katika maeneo yenye miti mingi. Miramba ni ndege weusi wenye domo kubwa na pana, miguu mifupi na mkia mrefu mwenye ncha iliyogawanyika sehemu mbili (isipokuwa mramba mkia-mraba). Wakitua ndege hawa husimama kabisa. Hawaogopi na hushambulia ndege wakubwa zaidi, hata ndege mbua, ili kulinda tago lao au makinda yao. Hula wadudu tu na hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika panda ya mti. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]