Mnadhiri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Samsoni na simba, mchoro wa Francesco Hayez (1842).

Mnadhiri (kutoka Kiebrania נזיר, nazir, maana yake "aliyewekwa wakfu" au "aliyetengwa"[1][2]) katika Biblia ni mtu mwenye nadhiri iliyoratibiwa na Hes 6:1–21.

Humo tunasikia masharti ya nadhiri:

Kati ya wanadhiri wa kudumu walio maarufu zaidi kuna Samsoni na Yohane Mbatizaji.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Alternatively "crowned", see Abraham ibn Ezra's biblical commentary
  2. In Modern Hebrew the word "nazir" is commonly used for monks, both Christian and Buddhist – this meaning having largely displaced the original Biblical meaning.
  3. The New JPS translation is: "wine and any other intoxicant". Classical Rabbinical interpretation permits non-grape alcohols.
  4. Hesabu 6:3
  5. Hesabu 6:3-4
  6. Hesabu 6:5
  7. Hesabu 6:6-7

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • See: Chepey, S. Nazirites in Late Second Temple Judaism: A Survey of Ancient Jewish Writings, the New Testament, Archaeological Evidence, and other Writings from Late Antiquity. AJEC 60. Leiden: Brill Academic Publishers, 2005.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mnadhiri kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.