Mkongobaki
Mkongobaki ni jina la kata ya Wilaya ya Ludewa katika Mkoa wa Njombe, Tanzania. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 3,530 [1] walioishi humo. Msimbo wa posta ni 59419.
Kata hii ina vijiji vitatu ambavyo ni Mkongobaki, Ugera na Lipangala. Makao makuu ya kata yapo katika kijiji cha Ugera ambacho kipo katikati ya kata hiyo.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya 2012, Njombe - Ludewa DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-16.
![]() |
Kata za Wilaya ya Ludewa - Mkoa wa Njombe - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Ibumi | Iwela | Kilondo | Lifuma | Luana | Ludende | Ludewa | Lugarawa | Luilo | Lumbila | Lupanga | Lupingu | Madilu | Madope | Makonde (Ludewa) | Manda (Ludewa) | Masasi (Ludewa) | Mavanga | Mawengi | Milo | Mkongobaki | Mlangali (Ludewa) | Mundindi | Nkomang'ombe | Ruhuhu |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Njombe bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkongobaki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |