Mkoa wa Karas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Karas katika Namibia

Mkoa wa Karas ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 69,677 kwenye eneo la 161,325 km². Mji mkuu ni Keetmanshoop.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Keetmanshoop na Lüderitz.

Mto Fish na Oranje ni mito muhimu zaidi.

Picha za Karas[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Karas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Mikoa ya Namibia
Bandera ya Namibia
Caprivi | Erongo | Hardap | Karas | Kavango | Khomas | Kunene | Ohangwena | Omaheke | Omusati | Oshana | Oshikoto | Otjozondjupa