Mkoa wa Kavango

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kavango katika Namibia

Mkoa wa Kavango ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 201,093 kwenye eneo la 43,418 km². Mji mkuu ni Rundu.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Rundu na Nkurenkuru.

Okavango na Kwando ni mito muhimu zaidi.

Picha za Kavango[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kavango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Mikoa ya Namibia
Bandera ya Namibia
Caprivi | Erongo | Hardap | Karas | Kavango | Khomas | Kunene | Ohangwena | Omaheke | Omusati | Oshana | Oshikoto | Otjozondjupa