Mkoa wa Omusati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Omusati katika Namibia

Mkoa wa Omusati ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 228,364 kwenye eneo la 13,638 km². Mji mkuu ni Outapi.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Outapi na Okahao.

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Omusati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Mikoa ya Namibia
Bandera ya Namibia
Caprivi | Erongo | Hardap | Karas | Kavango | Khomas | Kunene | Ohangwena | Omaheke | Omusati | Oshana | Oshikoto | Otjozondjupa