Microsoft Excel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Microsoft Excel (jina kamili ni Microsoft Office Excel) ni sehemu ya Microsoft Office. Pia inapatikana kwenye mifumo ya Mac. Imeundwa na Microsoft na ni programu ya wamiliki. Inatumika kwenye mifumo ya uendeshaji Microsoft Windows na Mac OS X.

Inaweza kufanya mahesabu na majedwali. Kwa mfano, inaweza kufanya chati na picha zingine kutoka kwenye meza za data. Pia ina lugha kubwa ya programu inayoitwa Visual Basic For Appilication (VBA). Excel ni sehemu ya Microsoft Office. Matoleo ya sasa ni 2016 kwa Windows na 2016 kwa Mac.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.