Maunzilaini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Programu)

Maunzilaini (pia: maunzi laini[1], kwa Kiingereza software) ni jumla ya programu na data zinazodhibiti utendaji wa kazi ya kompyuta. Ni tofauti na mashine ya kompyuta yenyewe inayotajwa kama maunzingumu au hardware.

Kujenga programu[hariri | hariri chanzo]

Katika mfumo wa programu, programu ni data ambayo hutumiwa na processor kama maelekezo ya kudhibiti mfumo wa kompyuta.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Maunzi laini au maunzilaini ni pendekezo la Kamusi ya KSK; Orodha za Microsoft na Kilinux hutumia "programu", linganisha orodha ya klnX IT Extended Glossary May 2009
  2. Kutengeneza programu na aina zake.
  • Kiputuputi, Omari (2011). Kamusi Sanifu ya Kompyuta, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Toleo la Kwanza 2011, ISBN 978 9987 531 127