Mercedes Benz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mercedes-Benz logo 2010-2021
BENZ SLS AMG

Mercedes Benz ni kampuni kubwa ya magari inayojihusisha na utengenezaji wa magari madogo, malori, mabasi n.k.

Makao makuu yako Stuttgart, Baden-Württemberg, Ujerumani.

Jina Mercedes Benz lilitokea mnamo mwaka 1926 kutoka kwa Daimler Benz.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Mercedes Benz ni gari la kwanza la petroli lililotengenezwa na Karl Benz, Benz Patent Motorwagen, kutokana na ufadhili wa na Bertha Benz na kupewa hatimiliki Januari 1886. Gari hili liliuzwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1901 na kampuni ya Daimler-Motoren-Gesellschaft.

Ni gari ambalo mara nyingi huuzwa kwa bei kubwa sana na yamezoeleka sana Marekani na nchi zilizoendelea kiuchumi. Kuna aina nyingi za magari kama hayo, kama vile yenye milango sita, minne, na mengine marefu,