Mendard Lutengano Kigola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mendard Lutengano Kigola (amezaliwa 10 Desemba 1969) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mufindi Kusini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017