Masimo wa Padova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Masimo na Oswadi walivyochorwa na Yohane Mbatizaji Tiepolo.

Masimo wa Padova (alifariki 166 BK) anakumbukwa kama askofu wa pili wa Padova (Italia Kaskazini) kuanzia mwaka 141 hadi kifo chake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti.[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.