Masimo wa Cumae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Masimo wa Cumae (alifariki 303 hivi) alikuwa Mkristo anayekumbukwa kama mfiadini wa mji huo wa kale katika Italia Kusini[1].

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.