Masedoni, Teoduli na Tasiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Masedoni, Teoduli na Tasiani (walifariki Meros, Frigia, leo nchini Uturuki, 362 hivi) walikuwa Wakristo ambao kwa amri ya gavana Almaki, baada ya kuteswa kikatili, walichomwa moto kwa kubanikwa kwa ajili ya imani yao katika dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi[1].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 19 Julai[2] au 12 Septemba au 13 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/63460
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.