Mary Lynn Rajskub
Mary Lynn Rajskub | |
---|---|
Mary Lynn Rajskub baada ya kurekodi 24 Msimu wa 7, mnamo Mei 2009 | |
Amezaliwa | Mary Lynn Rajskub 22 Juni 1971 Trenton, Michigan, Marekani |
Mary Lynn Rajskub (muda mwigine hujiita kama Marylynn Rajskub) (amezalia tar. 22 Juni 1971) ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Marekani. Huyu ni msanii na mchekashaji wa vitimbi vya kusimama. Ana asili ya Kicheki na Kiireland. Anafahamika zaidi kwa kucheza kama Chloe O'Brian kutoka katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Mary Lynn Rajskub kwenye Internet Movie Database
- Fan Site Archived 14 Septemba 2008 at the Wayback Machine.
- Mary Lynn Rajskub Interview on Fox News Radio
- stand-up videos on effinfunny.com
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mary Lynn Rajskub kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |