Majadiliano ya mtumiaji:Linusnk

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
 Ngoma.
kulinngana na tamaduni nyingi za kiafrika ngoma ni ala muhimu katika kuendeleza utamaduni.Wataalam wengi wametoa madai  yao ili kuthibitisha jambo hili. Kulingana na wanahistoria wanasema kwamba ngoma katika jamii za kijadi ilitumiwa kama njia ya mawasiliano hasa wakakati wa vita ili kuwafahamisha vijana wanao tetea jamii mahali adui walipo.
     Katika kitengo kingine ,wanajamii waliitumia katika sherehe mbalimbali kujiburudisha,shere hizo ni:-jando,mazizi,harusi, matanga na mambo kama ambayo yaliwaleta wanajamii pamoja.Aidha wanahistoria wanasema kwamba katika Afrika magharibi ilitumiwa katika  shughuli za kidini kwa hivyo iliheshimiwa.Watalii wengi hupigwa na bumbuazi wakati mwanasanaa anapojibwaga uwanjani na kucheza ngama ambayo huongea kama binadamu.
     Ajabu ni kwamba  hutumiwa kuwafukuza mizimwi,babu aliniambia kwamba

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Husseyn Issa (majadiliano) 20:32, 7 Aprili 2023 (UTC)[jibu]