Majadiliano ya mtumiaji:2A03:2880:31FF:E:0:0:FACE:B00C

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kijiji cha Sungusila kinapatikana katika kata ya Nzera, Wilaya ya Geita na Mkoa wa Geita. Kijiji cha Sungusila kimepakana na kijiji cha

Mazao maarufu ni nanasi ndilo hulimwa kwa wingi kwa ajili ya biashara. Mazao mengine ni mahindi,mihogo,mtama,mpunga,Katanga,maharagwe,miwa,pamba na machungwa au machenza.

Mazao mengi ni kwa ajili ya biashara na chakula.

Kijiji cha sungusila kinazalisha mazao mengi sana ili zao kubwa ni nanasi. Pia inazalisha mimea mingi kwa uvunaji wa mbao hasa mikalibea na mikilitusi. Kuna uoto wa asili na mimea asilia isiyo ya kupanda.

Mazingira yake[hariri chanzo]

Sungusila imezungukwa na vijimilima vingi ikiwemo milima ya Fulwe.

~Upande wa elimu.

~Afya Sungusila ina kituo cha afya kiitwacho Fulwe ambacho kinategemewa na zaidi ya vijiji vitatu kama vile Sungusila, Igate, Nyalubanga, Lwenzera na Idosero.

Kijiji cha Sungusila kinategemea shule moja ya sekondari iitwayo Bugando ambayo ni shule ya kata.

Sungusila ina vitongoji vya Sungusila, Nyalukome, Fulwe (Muembeni na Mchangani), na Shilabela.

Kabila kubwa ni Wasukuma japo unaweza kupata makabila mengine kutokana na muingiliano. Zaidi ya 80% ni Wakristo na wengine ni Waislamu

(ongeza kwa mabano mraba [[...]] Jamii:Wilaya ya Geita )


Huu ni ukurasa wa majadiliano kwa mtumiaji asiyejulikana ambaye bado hajafungua akaunti, au ambaye haitumii. 

Kwa hivyo inatubidi kutumia anwani ya IP ya nambari ili kuwatambua. Anwani kama hiyo ya IP inaweza kushirikiwa na watumiaji kadhaa. Ikiwa wewe ni mtumiaji asiyejulikana na unahisi kuwa maoni yasiyo na maana yameelekezwa kwako, tafadhali fungua akaunti au ingia ili kuepuka kuchanganyikiwa kwa watumiaji katika siku za usoni na wengine wasiojulikana.