Machano Othman Said

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Machano Othman Said ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017