Kibonyezo cha kufutia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kibonyezo cha kufutia.

Katika utarakilishi, Kibonyezo cha kufutia au kibonyezo kufutia (kwa Kiingereza: delete key) ni kibonyezo cha baobonye la tarakilishi kinachotumiwa ili ifutie herufi moja katika nakala.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.