Campania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bendera ya Campania.
Bendera ya Campania.
Mahali pa Campania katika Italia

Campania ni mkoa wa Italia upande wa kusini-magharibi. Ndio wenye wakazi wengi zaidi kati ya ile yote ya Italia Kusini.

Mji mkuu wake ni Napoli, mji wa tatu wa nchi baada ya Roma na Milano.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


 
Mikoa ya Italia
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Campania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.