Mpunga : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza tt:Дөге
d r2.6.6) (Roboti: Imeongeza vec:Rixo
Mstari 160: Mstari 160:
[[uk:Рис]]
[[uk:Рис]]
[[ur:چاول]]
[[ur:چاول]]
[[vec:Rixo]]
[[vi:Gạo]]
[[vi:Gạo]]
[[wa:Riz]]
[[wa:Riz]]

Pitio la 21:05, 21 Februari 2013

Mpunga
(Oryza spp.)
Mpunga wa kiasia
Mpunga wa kiasia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja tu)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama kongwe)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Mimea iliyo na mnasaba na nyasi)
Jenasi: Oryza
L.
Spishi: O. barthii A. Chev.

O. glaberrima Steud.
O. longistaminata Steud. & Roehr.
O. rufipogon Griff.
O. sativa L.
O. nivara S.D. Sharma & Shastry

Mpunga ni aina ya mimea katika familia ya manyasi (Poaceae). Spishi kadhaa zinapandwa katika sehemu mbalimbali za dunia, lakini mpunga wa kiasia ni ile ya kawaida.

Mpunga ni chanzo cha chakula kwa watu wengi duniani. Punje (mbegu) zake ni nafaka na huitwa mchele. Mchele uliopikwa ni wali.

Spishi

Picha