Hasira : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: el:Θυμός
d roboti Badiliko: sr:Bes (emocija)
Mstari 60: Mstari 60:
[[sk:Hnev]]
[[sk:Hnev]]
[[sq:Inati]]
[[sq:Inati]]
[[sr:Гнев]]
[[sr:Bes (emocija)]]
[[sv:Vrede]]
[[sv:Vrede]]
[[te:క్రోధం]]
[[te:క్రోధం]]

Pitio la 19:51, 9 Septemba 2011

Hasira ya Akile dhidi ya Agamemnon ilivyochorwa na Giovanni Battista Tiepolo.
Vilema vikuu

Hasira ni ono linalowapata binadamu na wanyama mbele ya kipingamizi.

Isiporatibiwa na mtu inaweza ikasababisha madhara makubwa, inavyofundisha mithali ya Kiswahili, "Hasira, hasara".

Ndiyo sababu inahesabiwa kati ya vilema vikuu ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.