Wakatoliki wa Kale : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ca:Església Catòlica Antiga
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: sh:Starokatolička crkva
Mstari 35: Mstari 35:
[[ro:Biserica Vetero-Catolică]]
[[ro:Biserica Vetero-Catolică]]
[[ru:Старокатолицизм]]
[[ru:Старокатолицизм]]
[[sh:Starokatolička crkva]]
[[simple:Old Catholic Church]]
[[simple:Old Catholic Church]]
[[sk:Starokatolícka cirkev]]
[[sk:Starokatolícka cirkev]]

Pitio la 16:15, 26 Agosti 2011

Wakatoliki wa Kale ni jina linalotumika kujumlisha Wakristo wa Magharibi ambao wametengana na Askofu wa Roma hasa baada ya Mtaguso wa kwanza wa Vatikano (1869-1870) kutangaza dogma ya Papa kutoweza kukosea anapotamka rasmi jambo fulani kama fundisho la kudumu moja kwa moja.

Wakristo hao walijipatia Uaskofu halisi katika mlolongo wa Mitume kupitia Askofu wa Utrecht mwaka 1873, na baada ya hapo waliusambaza kwa madhehebu mengi.

Imani na liturujia zao zinafanana na zile za Kanisa Katoliki, lakini taratibu zimekwenda mbali.

Baadhi ya Makanisa ya namna hiyo yanaunda "Umoja wa Utrecht" ulioanzishwa mwaka 1889.