Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: zh:第三次拉特朗公會議
d r2.6.4) (roboti Badiliko: cs:Třetí lateránský koncil
Mstari 14: Mstari 14:


[[ca:Concili del Laterà III]]
[[ca:Concili del Laterà III]]
[[cs:3. lateránský koncil]]
[[cs:Třetí lateránský koncil]]
[[de:Drittes Laterankonzil]]
[[de:Drittes Laterankonzil]]
[[en:Third Council of the Lateran]]
[[en:Third Council of the Lateran]]

Pitio la 14:40, 10 Julai 2011

Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III (1159-1181) ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.

Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa kumi na moja.

Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.

Ulijadili masuala mbalimbali na kuyatungia kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III. Kati ya maamuzi muhimu zaidi, mmojawapo ulihusu uchaguzi wa Papa, ukidai thuluthi mbili za kura za makardinali wote, bila ya kutofautisha haki za makundi yao matatu.

Viungo vya nje