Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: pl:Sobór laterański III; cosmetic changes |
d roboti Badiliko: fr:Troisième concile du Latran |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[es:Concilio de Letrán III]] |
[[es:Concilio de Letrán III]] |
||
[[fi:3. Lateraanikonsiili]] |
[[fi:3. Lateraanikonsiili]] |
||
[[fr: |
[[fr:Troisième concile du Latran]] |
||
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]] |
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]] |
||
[[it:Concilio Lateranense III]] |
[[it:Concilio Lateranense III]] |
Pitio la 18:48, 17 Oktoba 2010
Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.
Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa 11.
Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.
Ulimalizika kwa kutoa kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III.
Viungo vya nje
- (Kiingereza) Third Lateran Council (1179) katika Catholic Encyclopedia.