Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: pl:Sobór laterański III; cosmetic changes
Mstari 19: Mstari 19:
[[es:Concilio de Letrán III]]
[[es:Concilio de Letrán III]]
[[fi:3. Lateraanikonsiili]]
[[fi:3. Lateraanikonsiili]]
[[fr:IIIe concile du Latran]]
[[fr:Troisième concile du Latran]]
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]]
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]]
[[it:Concilio Lateranense III]]
[[it:Concilio Lateranense III]]

Pitio la 18:48, 17 Oktoba 2010

Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.

Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa 11.

Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.

Ulimalizika kwa kutoa kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III.

Viungo vya nje