Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hr:Ivan IV. Etiopski
d roboti Badiliko: fr:Yohannes IV d'Éthiopie; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Yohannes IV.jpg|thumb|250px|right|Yohane IV]]
[[Picha:Yohannes IV.jpg|thumb|250px|right|Yohane IV]]
'''Yohannes IV''' (* [[1831]] kwa jina la Dejazmach Kassay; † [[10 Machi]] [[1889]] Metemma, [[Sudan]]) alikuwa Ras wa [[Tigray]] na [[Kaisari]] wa [[Ethiopia]] kati ya [[1872]]–[[1889]]. Alimfuata [[Tewodros II]] akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia. <br><br> [[1876]] aliweza kuzuia mashambulio ya [[Misri]] dhidi ya Ethiopia. <br> Aliuawa katika [[mapigano ya Metemna]] dhidi ya jeshi la [[Al-Mahdi]] tar. [[10 Machi]] [[1889]]. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye [[Omdurman]].
'''Yohannes IV''' (* [[1831]] kwa jina la Dejazmach Kassay; † [[10 Machi]] [[1889]] Metemma, [[Sudan]]) alikuwa Ras wa [[Tigray]] na [[Kaisari]] wa [[Ethiopia]] kati ya [[1872]]–[[1889]]. Alimfuata [[Tewodros II]] akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia. <br /><br /> [[1876]] aliweza kuzuia mashambulio ya [[Misri]] dhidi ya Ethiopia. <br /> Aliuawa katika [[mapigano ya Metemna]] dhidi ya jeshi la [[Al-Mahdi]] tar. [[10 Machi]] [[1889]]. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye [[Omdurman]].


{{DEFAULTSORT:Yohane IV}}
{{DEFAULTSORT:Yohane IV}}
[[Category:Waliozaliwa 1831]]
[[Category:Waliofariki 1889]]
[[Category:Wafalme wa Ethiopia]]

{{mbegu-Kaizari-Uhabeshi}}
{{mbegu-Kaizari-Uhabeshi}}

[[Jamii:Waliozaliwa 1831]]
[[Jamii:Waliofariki 1889]]
[[Jamii:Wafalme wa Ethiopia]]


[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]]
[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]]
Mstari 13: Mstari 13:
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]]
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]]
[[es:Juan IV de Etiopía]]
[[es:Juan IV de Etiopía]]
[[fr:Yohannès IV d'Éthiopie]]
[[fr:Yohannes IV d'Éthiopie]]
[[he:יוהנס הרביעי, קיסר אתיופיה]]
[[he:יוהנס הרביעי, קיסר אתיופיה]]
[[hr:Ivan IV. Etiopski]]
[[hr:Ivan IV. Etiopski]]

Pitio la 16:27, 28 Aprili 2010

Yohane IV

Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 18721889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.

1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Al-Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.


Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Uhabeshi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohane IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.