Juma : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: io:Semano
d roboti Nyongeza: ckb:هەفتە; cosmetic changes
Mstari 2: Mstari 2:
Ufuatano wa juma haulingani na mwgawanyo mwingine wa wakati kwa njia ya [[mwezi (wakati)|miezi]] au mwaka.
Ufuatano wa juma haulingani na mwgawanyo mwingine wa wakati kwa njia ya [[mwezi (wakati)|miezi]] au mwaka.


==Mapokeo ya kiyahudi-kikristo==
== Mapokeo ya kiyahudi-kikristo ==
Asili ya juma ni katika utamaduni wa kale wa [[Mashariki ya Kati]] tangu [[Babiloni]]. Imeenea kupitia [[Biblia]] na kawaida ya [[Uyahudi]] na [[Ukristo]].
Asili ya juma ni katika utamaduni wa kale wa [[Mashariki ya Kati]] tangu [[Babiloni]]. Imeenea kupitia [[Biblia]] na kawaida ya [[Uyahudi]] na [[Ukristo]].


Ufuatano wa siku katika mapokeo haya huanza na Jumapili. Majina ya siku ni kama yafuatayo:
Ufuatano wa siku katika mapokeo haya huanza na Jumapili. Majina ya siku ni kama yafuatayo:
*[[Jumapili]]
* [[Jumapili]]
*[[Jumatatu]]
* [[Jumatatu]]
*[[Jumanne]]
* [[Jumanne]]
*[[Jumatano]]
* [[Jumatano]]
*[[Alhamisi]]
* [[Alhamisi]]
*[[Ijumaa]]
* [[Ijumaa]]
*[[Jumamosi]]
* [[Jumamosi]]


Siku za Jumamosi na Jumapili mara nyingi huitwa "[[wikendi]]" ''([[kiing.]]: "weekend")''
Siku za Jumamosi na Jumapili mara nyingi huitwa "[[wikendi]]" ''([[kiing.]]: "weekend")''


==Majina ya Siku kwa Kiswahili==
== Majina ya Siku kwa Kiswahili ==
Majina ya siku tano kwa Kiswahili ni ya namba zinazoanza kuhesabiwa baada ya siku ya Ijumaa (ambayo ni siku ya sala kuu katika [[Uislamu]]):
Majina ya siku tano kwa Kiswahili ni ya namba zinazoanza kuhesabiwa baada ya siku ya Ijumaa (ambayo ni siku ya sala kuu katika [[Uislamu]]):


Mstari 25: Mstari 25:
Hivyo "Alhamisi" ina maana ya "siku ya tano" (baada ya Jumamosi inayoitwa "sabat" kwa Kiarabu sawa kama "shabbat" (=sabato) kwa [[Kiebrania]] (lugha ya Kiyahudi).
Hivyo "Alhamisi" ina maana ya "siku ya tano" (baada ya Jumamosi inayoitwa "sabat" kwa Kiarabu sawa kama "shabbat" (=sabato) kwa [[Kiebrania]] (lugha ya Kiyahudi).


"Ijumaa" ni matamshi ya Kiswahili ya jina la Kiarabu la "jum'a" inayomaanisha "siku ya mkutano" (= ya kusali pamoja).
"Ijumaa" ni matamshi ya Kiswahili ya jina la Kiarabu la "jum'a" inayomaanisha "siku ya mkutano" (= ya kusali pamoja).

[[Category:Kalenda]]
[[Category:Vipimo vya wakati]]
{{Siku za juma}}
{{Siku za juma}}
{{stub}}
{{stub}}


[[Jamii:Kalenda]]
{{Link FA|ia}}
[[Jamii:Vipimo vya wakati]]


{{Link FA|el}}
{{Link FA|el}}
{{Link FA|ia}}


[[af:Week]]
[[af:Week]]
Mstari 53: Mstari 52:
[[bs:Sedmica]]
[[bs:Sedmica]]
[[ca:Setmana]]
[[ca:Setmana]]
[[ckb:هەفتە]]
[[co:Sittimana]]
[[co:Sittimana]]
[[cs:Týden]]
[[cs:Týden]]

Pitio la 00:33, 13 Januari 2010

Juma au wiki ni kipindi cha siku saba. Kila siku ina jina lake. Kuna juma 52 katika mwaka wa kalenda ya Gregori na siku moja au mbili za ziada. Hesabu ya juma inaendelea mfululizo bila kuanza upya wakati wa mwaka mpya. Ufuatano wa juma haulingani na mwgawanyo mwingine wa wakati kwa njia ya miezi au mwaka.

Mapokeo ya kiyahudi-kikristo

Asili ya juma ni katika utamaduni wa kale wa Mashariki ya Kati tangu Babiloni. Imeenea kupitia Biblia na kawaida ya Uyahudi na Ukristo.

Ufuatano wa siku katika mapokeo haya huanza na Jumapili. Majina ya siku ni kama yafuatayo:

Siku za Jumamosi na Jumapili mara nyingi huitwa "wikendi" (kiing.: "weekend")

Majina ya Siku kwa Kiswahili

Majina ya siku tano kwa Kiswahili ni ya namba zinazoanza kuhesabiwa baada ya siku ya Ijumaa (ambayo ni siku ya sala kuu katika Uislamu):

Ijumaa - Jumamosi - Jumapili - Jumanne - Jumatano.

Alhamisi na Ijumaa ni majina ya Kiarabu. Lugha ya Kiarabu inafuata mapokeo ya Kiyahudi kuhusu majina ya siku.

Hivyo "Alhamisi" ina maana ya "siku ya tano" (baada ya Jumamosi inayoitwa "sabat" kwa Kiarabu sawa kama "shabbat" (=sabato) kwa Kiebrania (lugha ya Kiyahudi).

"Ijumaa" ni matamshi ya Kiswahili ya jina la Kiarabu la "jum'a" inayomaanisha "siku ya mkutano" (= ya kusali pamoja).

Siku za juma (wiki)
Jumapili - Jumatatu - Jumanne - Jumatano - Alhamisi - Ijumaa - Jumamosi

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA