Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-Mkristo
d roboti Badiliko: ca:Francesc de Paula
Mstari 18: Mstari 18:
[[Jamii:Waliofariki 1507]]
[[Jamii:Waliofariki 1507]]


[[ca:Sant Francesc de Paula]]
[[ca:Francesc de Paula]]
[[cs:František z Pauly]]
[[cs:František z Pauly]]
[[de:Franz von Paola]]
[[de:Franz von Paola]]

Pitio la 12:58, 26 Agosti 2009

Mtakatifu Fransisko wa Paola (Francesco di Paola, 14161507) alikuwa mtawa nchini Italia. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 2 Aprili.

Maisha

Fransisko alizaliwa katika mji wa Paola, mkoa wa Kalabria, Italia, mwaka wa 1416. Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye lilibadilisha na kuwa Utawa wa Wadogo Kabisa, na likapata kibali kutoka kwa Papa mwaka wa 1506. Fransisko alikufa mwaka wa 1507 huko Tours, Ufaransa.

Tazama pia

Marejeo

  • "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1328


Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.