Jimbo la Tigray : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
+image
svg version (GlobalReplace v0.6.5)
Mstari 6: Mstari 6:
|picha_ya_bendera =Flag_of_the_Tigray_Region.svg
|picha_ya_bendera =Flag_of_the_Tigray_Region.svg
|picha_ya_seal = Sin escudo.png
|picha_ya_seal = Sin escudo.png
|image_map = Ethiopia Tigray locator.png
|image_map = Tigray in Ethiopia.svg
|map_caption = Mahali pa Jimbo la Tigray katika Ethiopia
|map_caption = Mahali pa Jimbo la Tigray katika Ethiopia
|coordinates_region =
|coordinates_region =

Pitio la 03:11, 23 Agosti 2018



ትግራይ ክልል
Jimbo la Tigray

Bendera
Mahali paትግራይ ክልል Jimbo la Tigray
Mahali paትግራይ ክልል
Jimbo la Tigray
Mahali pa Jimbo la Tigray katika Ethiopia
Nchi Bendera ya Ethiopia Ethiopia
Mji mkuu Mek'ele
Eneo
 - Jumla 50,078 km²
Idadi ya wakazi (2001)
 - Wakazi kwa ujumla 4.334.996
Kilimo

Jimbo la Tigray (Pia: Tigre) ni jimbo la Ethiopia ya kaskazini na sehemu za nyanda za juu. Mju mkuu ni Mekelle.

Wakazi walio wengi hutumia lugha ya Kitigray au "Kitigrinya". Idadi kubwa hufuata Ukristo wa kiorthodoksi kuna Waislamu pia. Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi ni mwenyeji wa Tigray.

Mji muhimu wa kihistoria ni Aksum ambapo ni chanzo cha Ethiopia. Mji wa Adowa upo Tigray vilevile. Mwaka 1896 uvamizi wa Italia ulishindwa katika mapigano ya Adowa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Tigray kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.




 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray