Lynn Wilms
Mandhari
Lynn Anke Hannie Wilms (alizaliwa 3 Oktoba 2000) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Uholanzi ambaye anacheza kama beki katika klabu ya VfL Wolfsburg ya wanawake katika ligi ya Frauen-Bundesliga pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya nchini Uholanzi.[1][2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Men's Olympic Football Tournament Tokyo 2020: Squad list, Germany" (PDF). FIFA. 7 Julai 2021. uk. 7. Iliwekwa mnamo 7 Julai 2021.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "International Lynn Wilms verlengt contract bij FC Twente". 1limburg. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-05-07. Iliwekwa mnamo 23 Novemba 2020.
{{cite news}}
: More than one of|accessdate=
na|access-date=
specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lynn Wilms kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |