Lydia Koyonda
Mandhari
| Lydia koyonda | |
| Amezaliwa | 29 Mei 1974 Nigeria |
|---|---|
| Nchi | Nigeria |
| Kazi yake | mchezaji wa mpira wa miguu |
Lydia Koyonda (alizaliwa 29 Mei, 1974) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Nigeria ambaye alicheza kama golikipa wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria.
Alishiriki na timu yake ya Taifa ya Nigeria katika mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA la wanawake mwaka 1991.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "FIFA Women's World Cup China 1991 - Technical Report" (PDF). FIFA Women's World Cup China 1991. FIFA. 1991. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 27 Desemba 2011. Iliwekwa mnamo 20 Oktoba 2016.
{{cite web}}: More than one of|archivedate=na|archive-date=specified (help); More than one of|archiveurl=na|archive-url=specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lydia Koyonda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |