Lourdes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Lurdi)
Mandhari ya Lourdes pamoja na Basilika la Rozari.
Sanamu ya Bikira Maria katika pango la Lourdes.
Mozaiki katika Basilika.

Lourdes (matamshi: [luʀd]) ni mji mdogo (wakazi 15,000) chini ya milima ya Pirenei nchini Ufaransa.

Inatembelewa na watu zaidi ya milioni 5 kwa mwaka kutoka na njozi za mwaka 1858, ambazo Kanisa Katoliki limethibitisha kwamba kweli Bikira Maria alimtokea msichana Bernadeta Soubirous.

Kanisa hilo limethibitisha pia miujiza 70 iliyotokana na maombezi ya Bikira Maria kuwa haielezeki kisayansi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Collectif, Lourdes de la Préhistoire à nos jours, Musée Pyrénéen, 1987.
  • Laurence Catinot-Crost, Autrefois Lourdes, Éditions Atlantica, 2005.
  • Sébastien Barrère, Petite histoire de Lourdes, Cairn, 2014.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lourdes kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.