Lunguya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lunguya ni kata ya Wilaya ya Msalala katika Mkoa wa Shinyanga, Tanzania. Kata hii inapakana na kata za Segese, Bugarama na Chela.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 23,050 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,307 waishio humo.[2]

Kabla ya uhuru Kata hiyo ilikuwa chini ya Mtemi Kelela. Katika karne ya 20 kijiji hicho kilikuwa na malenga maarufu aliyejulikana kwa jina la Wandela ambaye alizaliwa mnamo mwaka 1922 na kufariki tarehe 5 Novemba 2005.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Msalala - Mkoa wa Shinyanga - Tanzania

Bugarama | Bulige | Bulyan'hulu | Busangi | Chela | Ikinda | Isaka | Jana | Kashishi | Lunguya | Mega | Mwakata | Mwalugulu | Mwanase | Ngaya | Ntobo | Segese | Shilela

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Shinyanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lunguya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.