Jana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jana ni kata ya Wilaya ya Msalala katika Mkoa wa Shinyanga, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 21,090 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 16,099 waishio humo.[2] Jana ina msimbo wa posta 37328.

Kufuatana na kumbukumbu ya mzee Kishosha Sitta, kundi la kwanza la Sungusungu lilitokea mwaka 1982 hapa Jana, hatua iliyofuatwa na kuzinduliwa kwa harakati hii katika kata jirani ya Mwalugulu na baba yake Sitta Kishosha.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Msalala - Mkoa wa Shinyanga - Tanzania

Bugarama | Bulige | Bulyan'hulu | Busangi | Chela | Ikinda | Isaka | Jana | Kashishi | Lunguya | Mega | Mwakata | Mwalugulu | Mwanase | Ngaya | Ntobo | Segese | Shilela

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Shinyanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.