Lucy Fidelis Owenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lucy Fidelis Owenya (amezaliwa tarehe 2 Februari 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017